Mambo ya Walawi 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye mbuzi huyo atachukua juu yake mwenyewe makosa+ yao yote mpaka katika nchi ya jangwa,+ naye atampeleka mbuzi huyo nyikani.+ Isaya 53:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+ Yohana 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+
22 Naye mbuzi huyo atachukua juu yake mwenyewe makosa+ yao yote mpaka katika nchi ya jangwa,+ naye atampeleka mbuzi huyo nyikani.+
11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+
29 Siku iliyofuata alimwona Yesu akimjia, naye akasema: “Ona, Mwana-Kondoo+ wa Mungu ambaye huondolea mbali dhambi+ ya ulimwengu!+