Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda?

  • Marko 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+

  • Wagalatia 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ndiyo, walipokuja kujua fadhili zisizostahiliwa+ nilizopewa,+ Yakobo+ na Kefa na Yohana, wale walioonekana kuwa nguzo,+ walinipa mimi na Barnaba+ mkono wa kuume wa kushirikiana pamoja,+ ili sisi twende kwa mataifa, bali wao waende kwa wale waliotahiriwa.

  • Yakobo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Yakobo,+ mtumwa+ wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila+ kumi na mawili yaliyotawanyika+ huku na huku:

      Salamu!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki