Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Mungu akamwambia Musa: “NITAKUWA KILE NITAKACHOKUWA.”+ Naye akaongeza kusema: “Hivi ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli, ‘NITAKUWA amenituma kwenu.’”+

  • Ufunuo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”+ asema Yehova Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,+ Mweza-Yote.”+

  • Ufunuo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na kwa habari ya wale viumbe hai wanne,+ kila mmoja wao ana mabawa sita;+ kuzunguka pande zote na chini yao wamejaa macho.+ Nao hawapumziki mchana na usiku huku wakisema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova+ Mungu, Mweza-Yote,+ aliyekuwako+ na aliyeko na anayekuja.”

  • Ufunuo 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ Yeye aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu+ na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki