18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+
7 Yehova Mungu wa mbinguni, aliyenitoa katika nyumba ya baba yangu na kutoka katika nchi ya watu wangu wa ukoo+ na ambaye alizungumza nami na kuniapia:+ ‘Nitaupa uzao wako*+ nchi hii,’+ atamtuma malaika wake mbele yako,+ nawe hakika utamchukulia mwanangu mke kutoka huko.+
33Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Ondoka mahali hapa pamoja na watu uliowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Safirini mpaka nchi niliyomwapia Abrahamu, Isaka, na Yakobo, niliposema, ‘Nitaupa uzao wenu* nchi hii.’+