Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi watu wakaanza kumnung’unikia Musa,+ wakisema: “Tutakunywa nini?”

  • Kutoka 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha kusanyiko lote la Waisraeli likaanza kuwanung’unikia Musa na Haruni nyikani.+

  • Kutoka 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi watu wakaanza kugombana na Musa+ wakisema: “Tupe maji ya kunywa!” Lakini Musa akawauliza: “Kwa nini mnagombana nami? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+

  • Kumbukumbu la Torati 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kumbukeni, msisahau kamwe jinsi mlivyomkasirisha Yehova Mungu wenu nyikani.+ Tangu siku mliyotoka nchini Misri mpaka mlipofika mahali hapa, mmekuwa mkimwasi Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana mimi mwenyewe najua vizuri uasi wenu+ na ukaidi wenu.*+ Ikiwa mmekuwa mkimwasi sana Yehova ningali hai pamoja nanyi, basi mtamwasi kadiri gani nikifa?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki