Kutoka 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani. Kutoka 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Utamleta Haruni na wanawe kwenye mlango wa hema la mkutano+ na kuwaosha kwa maji.+ Kutoka 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kisha chukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na uyamimine juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+ Kutoka 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utamvisha Haruni mavazi matakatifu+ na kumtia mafuta+ na kumtakasa, naye atanitumikia akiwa kuhani.
28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani.
13 Utamvisha Haruni mavazi matakatifu+ na kumtia mafuta+ na kumtakasa, naye atanitumikia akiwa kuhani.