5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+
16 Itajulikanaje kwamba mimi nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, haitajulikana ukienda pamoja nasi,+ ili mimi na watu wako tuonekane kuwa tofauti na watu wengine wote duniani?”+
53 Kwa maana uliwatenga wawe urithi wako kutoka kati ya mataifa yote ya dunia,+ kama ulivyotangaza kupitia mtumishi wako Musa ulipokuwa ukiwatoa mababu zetu Misri, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+