Isaya 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ondokeni, ondokeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kichafu!+ Tokeni kati yake,+ iweni safi,Ninyi mnaobeba vyombo vya Yehova.+ 1 Petro 1:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama Yule Mtakatifu aliyewaita ninyi,+ 16 kwa maana imeandikwa: “Lazima muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+
11 Ondokeni, ondokeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kichafu!+ Tokeni kati yake,+ iweni safi,Ninyi mnaobeba vyombo vya Yehova.+
15 lakini iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama Yule Mtakatifu aliyewaita ninyi,+ 16 kwa maana imeandikwa: “Lazima muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+