Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Utakitakasa kidari cha toleo la kutikiswa na ule mguu wa fungu takatifu ambao ulitikiswa na ambao ulichukuliwa kutoka kwa yule kondoo dume wa kumweka rasmi kuhani,+ aliyetolewa kwa ajili ya Haruni na wanawe. 28 Vitu hivyo vitakuwa vya Haruni na wanawe kulingana na sheria ya kudumu itakayotekelezwa na Waisraeli, kwa sababu vitu hivyo ni fungu takatifu, navyo vitakuwa fungu takatifu litakalotolewa na Waisraeli.+ Ni fungu lao takatifu kwa Yehova kutoka katika dhabihu zao za ushirika.+

  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Sasa hii ndiyo haki ambayo makuhani wanastahili kutoka kwa watu: Mtu yeyote anayetoa dhabihu, iwe ni ng’ombe dume au kondoo anapaswa kumpa kuhani mguu wa mbele, mataya, na tumbo.

  • Ezekieli 44:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wao ndio watakaokula toleo la nafaka,+ dhabihu ya dhambi, na dhabihu ya hatia,+ na kila kitu kilichotolewa katika Israeli kitakuwa chao.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula vitu vya hekalu, na kwamba wale wanaohudumu kwa kawaida kwenye madhabahu hupata fungu lao kutoka kwenye madhabahu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki