Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, akasema: “Wakati huu nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akampa jina Yuda.*+ Kisha akaacha kuzaa.

  • Mwanzo 46:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+

      Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+

  • Hesabu 2:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Yuda litapiga kambi upande wa mashariki, upande wa mapambazuko ya jua, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Yuda ni Nashoni+ mwana wa Aminadabu. 4 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 74,600.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu.

  • Mathayo 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Abrahamu akawa baba ya Isaka;+

      Isaka akawa baba ya Yakobo;+

      Yakobo akawa baba ya Yuda+ na ndugu zake;

  • Waebrania 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa kuwa ni wazi kwamba Bwana wetu ametokana na Yuda,+ naye Musa hakusema kwamba makuhani wangetoka katika kabila hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki