Hesabu 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwanamume akimwekea Yehova nadhiri+ au akiapa+ kuweka nadhiri ya kujinyima kitu fulani,* hapaswi kuvunja ahadi yake.+ Anapaswa kufanya kila jambo aliloapa kufanya.+ Zaburi 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Humkataa mtu yeyote anayedharauliwa,+Lakini huwaheshimu wale wanaomwogopa Yehova. Havunji ahadi yake, hata ikimletea hasara.*+ Methali 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni mtego kwa mtu kutangaza haraka-haraka, “Ni kitakatifu!”+ Kisha anachunguza baadaye alichoweka nadhiri.+
2 Mwanamume akimwekea Yehova nadhiri+ au akiapa+ kuweka nadhiri ya kujinyima kitu fulani,* hapaswi kuvunja ahadi yake.+ Anapaswa kufanya kila jambo aliloapa kufanya.+
4 Humkataa mtu yeyote anayedharauliwa,+Lakini huwaheshimu wale wanaomwogopa Yehova. Havunji ahadi yake, hata ikimletea hasara.*+
25 Ni mtego kwa mtu kutangaza haraka-haraka, “Ni kitakatifu!”+ Kisha anachunguza baadaye alichoweka nadhiri.+