Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwanamume akimwekea Yehova nadhiri+ au akiapa+ kuweka nadhiri ya kujinyima kitu fulani,* hapaswi kuvunja ahadi yake.+ Anapaswa kufanya kila jambo aliloapa kufanya.+

  • Mhubiri 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu,+ usikawie kuitimiza, kwa maana hapendezwi na wapumbavu.+ Unapoweka nadhiri, itimize.+

  • Mhubiri 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Usiruhusu kinywa chako kikufanye* utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika* kwamba nilikosea.+ Kwa nini umkasirishe Mungu wa kweli kwa yale unayosema hivi kwamba alazimike kuiharibu kazi ya mikono yako?+

  • Mathayo 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Tena mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usikose kutimiza kiapo chako,+ unapaswa kutimiza nadhiri zako kwa Yehova.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki