Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao ulishuka hadi mwisho wa mlima unaotazamana na Bonde la Mwana wa Hinomu,+ upande wa kaskazini katika Bonde* la Refaimu,+ nao ukashuka upande wa kusini katika Bonde la Hinomu, kwenye mteremko wa Myebusi,+ na kufika En-rogeli.+

  • Yoshua 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Mto Yordani ulikuwa mpaka wa mashariki. Huo ndio uliokuwa urithi wa wazao wa Benjamini kulingana na koo zao, na hiyo ndiyo mipaka yao yote.

  • 2 Wafalme 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Pia alipafanya Tofethi,+ palipokuwa katika Bonde la Wana wa Hinomu*+ pasifae kwa ibada, ili mtu yeyote asimteketeze* motoni mwana wake au binti yake kwa ajili ya Moleki.+

  • Yeremia 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Wamejenga mahali pa juu pa Tofethi, palipo katika Bonde la Mwana wa Hinomu,*+ ili kuwateketeza motoni wana wao na mabinti wao,+ jambo ambalo sikuamuru na ambalo hata halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki