1 Mambo ya Nyakati 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote. Zaburi 72:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jina lake tukufu na lisifiwe milele,+Na utukufu wake ujae duniani pote.+ Amina na Amina. Mathayo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Basi, salini hivi:+ “‘Baba yetu uliye mbinguni, jina lako+ na litakaswe.*+ Yohana 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+
11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.
28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo sauti+ ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza nami nitalitukuza tena.”+