Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu.

  • 2 Samweli 20:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi lote la Israeli;+ Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa mkuu wa Wakerethi na Wapelethi.+

  • 1 Wafalme 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakati huo, Adoniya+ mwana wa Hagithi alikuwa akijikweza, akisema: “Nitakuwa mfalme!” Alijitengenezea gari, naye akawa na wapanda farasi na wanaume 50 waliokimbia mbele yake.+

  • 1 Wafalme 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alishauriana na Yoabu mwana wa Seruya na kuhani Abiathari,+ nao wakajitolea kumsaidia Adoniya na kumuunga mkono.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki