Mwanzo 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,+ Mwanzo 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Zabuloni+ atakaa kwenye ufuo wa bahari, kwenye ufuo ambapo meli hutia nanga,+ na mpaka wake wa mbali utaelekea Sidoni.+ Yoshua 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova akawatia mikononi mwa Waisraeli,+ nao wakawashinda na kuwakimbiza mpaka Sidoni Kuu+ na Misrefoth-maimu+ na Bonde la Mispe upande wa mashariki, nao wakawaangamiza, na hakuna yeyote aliyebaki.+
13 “Zabuloni+ atakaa kwenye ufuo wa bahari, kwenye ufuo ambapo meli hutia nanga,+ na mpaka wake wa mbali utaelekea Sidoni.+
8 Yehova akawatia mikononi mwa Waisraeli,+ nao wakawashinda na kuwakimbiza mpaka Sidoni Kuu+ na Misrefoth-maimu+ na Bonde la Mispe upande wa mashariki, nao wakawaangamiza, na hakuna yeyote aliyebaki.+