Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na irudi juu ya kichwa cha Yoabu+ na juu ya nyumba yote ya baba yake. Nyumba ya Yoabu isikose kamwe mwanamume anayetokwa na umajimaji+ au mtu mwenye ukoma+ au mwanamume anayetumikia kwenye gurudumu la mfumaji* au anayeuawa kwa upanga au asiye na chakula!”+

  • 1 Wafalme 2:31-34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kisha mfalme akamwambia: “Fanya kama alivyosema; muue na umzike, uniondolee mimi na nyumba ya baba yangu damu ambayo Yoabu alimwaga kwa njia isiyo ya haki.+ 32 Yehova atamlipiza kwa sababu ya damu aliyomwaga,* kwa sababu bila Daudi baba yangu kujua, aliwapiga na kuwaua kwa upanga wanaume wawili walio waadilifu na bora kuliko yeye, yaani, Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi la Israeli,+ na Amasa+ mwana wa Yetheri, mkuu wa jeshi la Yuda.+ 33 Hatia ya damu yao itakuwa juu ya kichwa cha Yoabu na juu ya kichwa cha uzao* wake milele;+ lakini amani kutoka kwa Yehova na iwe milele juu ya Daudi, uzao* wake, nyumba yake, na kiti chake cha ufalme.” 34 Kisha Benaya mwana wa Yehoyada akapanda kwenda huko, akampiga Yoabu na kumuua, akazikwa nyumbani kwake nyikani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki