Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+

      Neno la Yehova ni safi.+

      Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Iweni jasiri na imara. Msiogope wala msihofu kwa sababu ya mfalme wa Ashuru+ na umati wote ulio pamoja naye, kwa maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja naye.+

  • Zaburi 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+

      Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

      Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+

  • Zaburi 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hata jeshi likipiga kambi ili kunishambulia,

      Moyo wangu hautaogopa.+

      Hata vita vikizuka dhidi yangu,

      Bado nitaendelea kuwa jasiri.

  • Zaburi 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

      Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu salama.* (Sela)

  • Zaburi 55:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ataniokoa* na kunipa amani mbali na wale wanaopigana nami,

      Kwa maana umati huja kunishambulia.+

  • Zaburi 118:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yalinizingira, naam, yalinizingira kabisa,

      Lakini katika jina la Yehova,

      Niliyafukuza.

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki