Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “‘Msiende kwa watu wanaowasiliana na roho,+ wala msitafute ushauri kutoka kwa wabashiri+ msije mkajichafua. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Kumbukumbu la Torati 18:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane miongoni mwenu mtu yeyote anayemteketeza* motoni+ mwanawe au binti yake, mtu yeyote anayefanya uaguzi,*+ mtu yeyote anayefanya uchawi,+ mtu yeyote anayetafuta ishara za ubashiri,+ mlozi,+ 11 mtu yeyote anayewafunga wenzake kwa uchawi, mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho,+ mpiga ramli,+ au mtu yeyote anayetafuta habari kuhusu wafu.+

  • 2 Wafalme 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba.

  • 2 Wafalme 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye alimteketeza* motoni mwana wake mwenyewe; alifanya uchawi, alitafuta ishara za ubashiri,+ na kuwaweka rasmi watu wanaowasiliana na roho na wabashiri.+ Alitenda kwa kiwango kikubwa sana mambo maovu machoni pa Yehova, na kumkasirisha.

  • Isaya 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wakiwaambia: “Tafuteni habari kutoka kwa wale wanaowasiliana na roho au wabashiri wanaonong’oneza na kutoa sauti za chini,” je, watu hawapaswi kutafuta habari kutoka kwa Mungu wao? Je, wanapaswa kutafuta habari kutoka kwa wafu kwa ajili ya walio hai?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki