Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme.

  • 2 Wafalme 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Alimtumaini Yehova+ Mungu wa Israeli; na hakuna mfalme yeyote kati ya wafalme wote wa Yuda aliyekuwa kama yeye, kabla yake wala baada yake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mungu aliwasaidia kupigana nao, akawatia mikononi mwao Wahagri na wote waliokuwa pamoja nao, kwa maana walimwomba Mungu awasaidie vitani, akasikiliza maombi yao kwa sababu walimtumaini.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Je, Waethiopia na Walibya hawakuwa jeshi kubwa sana lenye magari mengi ya vita na wapanda farasi? Lakini kwa sababu ulimtegemea Yehova, aliwatia mikononi mwako.+

  • Zaburi 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Walikulilia kwa sauti, wakaokolewa;

      Walikutumaini, nao hawakukatishwa tamaa.*+

  • Zaburi 37:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mkabidhi* Yehova njia yako;+

      Mtegemee yeye, naye atatenda kwa niaba yako.+

  • Nahumu 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yehova ni mwema,+ ni ngome katika siku ya taabu.+

      Anawakazia fikira* wale wanaotafuta kimbilio kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki