Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Wakati wowote hema hilo linapohamishwa, Walawi ndio wanaopaswa kulifungua;+ na wakati linaposimamishwa, Walawi ndio wanaopaswa kulisimamisha; na mtu yeyote asiye na idhini* akilikaribia anapaswa kuuawa.+

  • Hesabu 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wewe na wanao mna wajibu wa kufanya kazi za ukuhani zinazohusu madhabahu na vitu vilivyo nyuma ya pazia,+ nanyi mtatimiza utumishi huo.+ Nimewapa utumishi wa ukuhani kama zawadi, na mtu yeyote asiye na idhini* atakayekaribia mahali patakatifu anapaswa kuuawa.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wakamkabili Mfalme Uzia na kumwambia: “Si vyema kwako, Uzia, kumfukizia Yehova uvumba!+ Ni makuhani tu wanaopaswa kufukiza uvumba, kwa maana wao ni wazao wa Haruni,+ waliotakaswa. Toka mahali patakatifu, kwa maana hujatenda kwa uaminifu, na kwa sababu hiyo hutapokea utukufu wowote kutoka kwa Yehova Mungu.”

      19 Lakini Uzia, aliyekuwa ameshika chetezo mkononi, akawaka hasira;+ na hasira yake ilipokuwa imewaka dhidi ya makuhani, ukoma+ ukatokea kwenye paji lake la uso mbele ya makuhani katika nyumba ya Yehova karibu na madhabahu ya uvumba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki