Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Siku zangu zinasonga upesi sana kuliko gurudumu la mfumaji,+

      Nazo zinafikia mwisho bila tumaini.+

  • Ayubu 14:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwanadamu anayezaliwa na mwanamke,

      Maisha yake ni mafupi+ na yamejaa taabu.*+

       2 Huchanua kama ua na kisha hunyauka;*+

      Hukimbia kama kivuli na kutoweka.+

  • Zaburi 39:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa kweli, umefanya siku zangu ziwe chache tu;*+

      Na urefu wa maisha yangu kuwa si kitu mbele zako.+

      Kwa hakika kila mwanadamu, ingawa anaonekana yuko salama, si kitu ila pumzi tu.+ (Sela)

       6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli.

      Hukimbia huku na huku* bila sababu.

      Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+

  • Zaburi 103:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+

      Yeye huchanua kama ua la shambani.+

      16 Lakini upepo unapovuma, linatoweka,

      Kana kwamba halikuwahi kuwepo.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki