Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 109:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana hakukumbuka kutenda kwa fadhili,*+

      Bali aliendelea kumfuatia mtu aliyekandamizwa,+ maskini, na aliyevunjika moyo

      Ili amuue.+

  • Methali 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Anayempunja maskini ili aongeze mali yake+

      Na yule anayewapa zawadi matajiri

      Mwishowe watakuwa maskini.

  • Isaya 10:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ole wao wanaotunga sheria zinazodhuru,*+

      Ambao sikuzote huandika amri zinazokandamiza,

       2 Ili kuwanyima maskini haki zao za kisheria,

      Ili kuwanyang’anya haki watu wa hali ya chini kati ya watu wangu,+

      Kuwafanya wajane kuwa nyara yao

      Na kuwapora mayatima!+

  • Yakobo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki