Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hiyo ndiyo njia ya wapumbavu+

      Na ya wale wanaowafuata, wanaofurahia maneno yao yasiyo na maana. (Sela)

      14 Kama kondoo, wamepangiwa kwenda Kaburini.*

      Kifo kitawachunga;

      Wanyoofu watawatawala+ asubuhi.

      Kila sehemu ya mwili wao itatoweka kabisa;+

      Kaburi*+ litakuwa makao yao badala ya jumba la mfalme.+

  • Zaburi 55:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wapatwe na maangamizi!+

      Na washuke Kaburini* wakiwa hai;

      Kwa maana uovu hukaa miongoni mwao na ndani yao.

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki