13 Hiyo ndiyo njia ya wapumbavu+
Na ya wale wanaowafuata, wanaofurahia maneno yao yasiyo na maana. (Sela)
14 Kama kondoo, wamepangiwa kwenda Kaburini.
Kifo kitawachunga;
Wanyoofu watawatawala+ asubuhi.
Kila sehemu ya mwili wao itatoweka kabisa;+
Kaburi+ litakuwa makao yao badala ya jumba la mfalme.+