Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 21:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kiondoe kilemba, na ulivue taji.+ Hili halitabaki kama lilivyo.+ Mwinue aliye chini,+ na umshushe aliye juu.+ 27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu. Nalo halitakuwa la mtu yeyote mpaka yule aliye na haki ya kisheria atakapokuja,+ nami nitampa yeye.’+

  • Danieli 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye hubadili nyakati na majira,+

      Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+

      Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+

  • Danieli 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Utafukuzwa mbali kutoka miongoni mwa wanadamu, utaishi na wanyama wa mwituni, nawe utapewa majani ule kama ng’ombe dume; na utalowa kwa umande wa mbinguni,+ na nyakati saba+ zitapita,+ mpaka utakapojua kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu na kwamba yeye humpa ufalme huo yeyote anayetaka kumpa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki