Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya vita,+

      Lakini wokovu ni wa Yehova.+

  • Yeremia 46:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Pandeni, enyi farasi!

      Nendeni kiwazimu, enyi magari!

      Acheni mashujaa wasonge mbele,

      Kushi na Putu, wanaobeba ngao,+

      Na Ludimu,+ wanaobeba na kuupinda* upinde.+

  • Yeremia 47:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Watakaposikia sauti ya kishindo cha kwato za farasi dume wake,

      Watakaposikia kelele za magari yake ya vita

      Na mvumo wa magurudumu yake,

      Akina baba hata hawatageuka kuwatazama wana wao,

      Kwa maana mikono yao italegea,

  • Habakuki 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Farasi wao wanakimbia kasi kuliko chui,

      Nao ni wakali kuliko mbwamwitu wakati wa usiku.+

      Farasi wao wa vita hukimbia mbele kwa kasi;

      Farasi wao hutoka mbali sana.

      Wanashuka chini kwa kasi kama tai anayekimbilia chakula.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki