Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mungu wangu, ninakutumaini wewe;+

      Usiruhusu niaibishwe.+

      Usiruhusu maadui wangu wanicheke.+

  • Zaburi 31:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+

      Acha nisiaibishwe kamwe.+

      Niokoe kwa sababu ya uadilifu wako.+

       2 Nitegee sikio lako.*

      Njoo haraka uniokoe.+

      Uwe kwangu mlima ambao ni ngome,

      Ngome ya kuniokoa.+

       3 Kwa maana wewe ni jabali langu na ngome yangu;+

      Kwa ajili ya jina lako,+ utaniongoza na kunielekeza.+

  • Isaya 45:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini Israeli ataokolewa na Yehova kwa wokovu wa milele.+

      Hamtaaibishwa wala kufedheheshwa kwa umilele wote.+

  • Yeremia 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wale wanaonitesa na waaibishwe,+

      Lakini usiruhusu niaibishwe.

      Waache washikwe na hofu,

      Lakini usiruhusu nishikwe na hofu.

      Ilete siku ya msiba juu yao,+

      Nawe uwaponde na kuwaangamiza kabisa.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki