2 Samweli 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili. Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+
3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.
2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+