Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini unapaswa kuchagua miongoni mwa watu, wanaume wanaostahili,+ wanaomwogopa Mungu, wanaume wanaotegemeka, wanaochukia faida isiyo ya haki,+ nawe uwaweke kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, na wakuu wa makumi.+ 22 Watakuwa waamuzi wa watu kunapokuwa na kesi,* nao watakuletea kila kesi iliyo ngumu,+ lakini wao wataamua kila kesi ambayo ni ndogo. Jirahisishie mzigo huu kwa kuwaruhusu wakusaidie kuubeba.+

  • Zaburi 82:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 “Nimesema, ‘Ninyi ni miungu,*+

      Ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Zaidi.

  • Yohana 10:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yesu akawajibu: “Je, haijaandikwa katika Sheria yenu, ‘Mimi nilisema: “Ninyi ni miungu”’?*+ 35 Ikiwa aliwaita ‘miungu’+ wale ambao neno la Mungu lilikuja dhidi yao—na bado andiko haliwezi kubatilishwa⁠—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki