Kumbukumbu la Torati 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sikilizeni, enyi Waisraeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.+ Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+ Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+
6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+
4 Sasa kuhusu kula chakula kilichotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ ulimwenguni na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+