10 “Pia, katika siku zenu za kushangilia+—wakati wa sherehe zenu+ na mwanzoni mwa miezi yenu—mtazipiga tarumbeta hizo mnapotoa* dhabihu zenu za kuteketezwa+ na dhabihu zenu za ushirika;+ zitanifanya mimi Mungu wenu niwakumbuke. Mimi ni Yehova Mungu wenu.”+
28 Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa kelele za shangwe,+ wakipiga pembe, tarumbeta,+ matoazi, na kupiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+
27 Kisha Hezekia akaagiza dhabihu ya kuteketezwa itolewe kwenye madhabahu.+ Dhabihu ya kuteketezwa ilipoanza kutolewa, wimbo wa Yehova ulianza na pia milio ya tarumbeta, kwa kufuata mwongozo wa ala za Mfalme Daudi wa Israeli.