Zaburi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana ni wewe unayeiwasha taa yangu, Ee Yehova,Mungu wangu ambaye hulifanya giza langu liangaze.+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
28 Kwa maana ni wewe unayeiwasha taa yangu, Ee Yehova,Mungu wangu ambaye hulifanya giza langu liangaze.+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+