Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115:4-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,

      Kazi ya mikono ya mwanadamu.+

       5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+

      Zina macho, lakini haziwezi kuona;

       6 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia;

      Zina pua, lakini haziwezi kunusa;

       7 Zina mikono, lakini haziwezi kugusa;

      Zina miguu, lakini haziwezi kutembea;+

      Hazitoi sauti yoyote kwa koo zake.+

       8 Watu wanaozitengeneza watakuwa kama sanamu hizo,+

      Na pia wote wanaozitumaini.+

  • Isaya 46:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;

      Wanapima fedha katika mizani.

      Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+

      Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+

  • Matendo 17:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni watoto* wa Mungu,+ hatupaswi kufikiri kwamba Mungu ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na ubunifu wa wanadamu.+

  • 1 Wakorintho 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, niseme nini? Je, kile kilichotolewa dhabihu kwa sanamu ni kitu, au je, sanamu ni kitu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki