Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha watumishi kumi waliombebea Yoabu silaha wakaja na kumpiga Absalomu mpaka wakamuua.+

  • 2 Samweli 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Sasa palikuwa na mfanya fujo fulani aliyeitwa Sheba,+ mwana wa Bikri, Mbenjamini. Alipiga pembe+ na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi, na hatuna urithi wowote katika mwana wa Yese.+ Enyi Waisraeli, kila mtu aende kwa miungu* yake!”+

  • 2 Samweli 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mara moja mwanamke huyo mwenye hekima akaenda kuzungumza na watu wote, nao wakamkata kichwa Sheba mwana wa Bikri na kukitupa kwa Yoabu. Basi Yoabu akapiga pembe, nao wakatawanyika kutoka kwenye jiji hilo, kila mmoja akarudi nyumbani kwake;+ naye Yoabu akarudi Yerusalemu kwa mfalme.

  • 1 Wafalme 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo Mfalme Sulemani akamjibu mama yake: “Kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu awe mke wa Adoniya? Huenda ukamwombea pia ufalme,+ kwa sababu yeye ni ndugu yangu mkubwa,+ naye anaungwa mkono na kuhani Abiathari na Yoabu+ mwana wa Seruya.”+

  • 1 Wafalme 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na sasa, kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ameniimarisha kabisa+ na kuniketisha kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu na kunijengea nyumba* kama alivyoahidi,+ Adoniya atauawa+ leo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki