Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ahabu akamwambia Eliya: “Yaani umenipata, ewe adui yangu?”+ Akajibu: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umeazimia* kutenda maovu machoni pa Yehova,+ 21 sasa ninakuletea msiba, nami nitafagia kabisa baada yako na kumwangamiza kila mwanamume* wa Ahabu,+ kutia ndani wasio na uwezo na walio dhaifu katika Israeli.+

  • 2 Wafalme 10:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi jueni kwamba hakuna neno hata moja la Yehova ambalo Yehova amesema dhidi ya nyumba ya Ahabu litakalokosa kutimia,*+ na Yehova amefanya yale aliyosema kupitia mtumishi wake Eliya.”+ 11 Basi Yehu akawaua watu wote waliobaki wa nyumba ya Ahabu kule Yezreeli, na pia watu wake wote mashuhuri, marafiki zake, na makuhani wake,+ hakumwacha mtu yeyote wa nyumba yake akiwa hai.+

  • Yeremia 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa kutoka hapo!

  • Yeremia 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova anasema hivi:

      ‘Andikeni kwamba mtu huyu hana mtoto,

      Kama mtu ambaye hatafanikiwa katika maisha yake,*

      Kwa maana hakuna yeyote kati ya wazao wake atakayefanikiwa

      Kuketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi na kutawala tena katika Yuda.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki