-
1 Wafalme 21:20, 21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Ahabu akamwambia Eliya: “Yaani umenipata, ewe adui yangu?”+ Akajibu: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umeazimia* kutenda maovu machoni pa Yehova,+ 21 sasa ninakuletea msiba, nami nitafagia kabisa baada yako na kumwangamiza kila mwanamume* wa Ahabu,+ kutia ndani wasio na uwezo na walio dhaifu katika Israeli.+
-
-
2 Wafalme 10:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Basi jueni kwamba hakuna neno hata moja la Yehova ambalo Yehova amesema dhidi ya nyumba ya Ahabu litakalokosa kutimia,*+ na Yehova amefanya yale aliyosema kupitia mtumishi wake Eliya.”+ 11 Basi Yehu akawaua watu wote waliobaki wa nyumba ya Ahabu kule Yezreeli, na pia watu wake wote mashuhuri, marafiki zake, na makuhani wake,+ hakumwacha mtu yeyote wa nyumba yake akiwa hai.+
-
-
Yeremia 22:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Yehova anasema hivi:
-