3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani:
“Fungueni njia ya Yehova!+
Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+
4 Kila bonde na liinuliwe,
Na kila mlima na kilima kishushwe.
Na ardhi yenye mashimo-mashimo itasawazishwa,
Na ardhi yenye mawemawe itakuwa bonde tambarare.+