Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Waliendelea kumlilia Yehova walipokuwa wakitaabika;+

      Aliwaokoa kutoka katika dhiki yao.+

       7 Aliwaongoza kutembea katika njia inayofaa+

      Ili wafike katika jiji ambamo wangeweza kuishi.+

  • Isaya 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+

      Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri.

  • Isaya 40:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani:

      “Fungueni* njia ya Yehova!+

      Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+

       4 Kila bonde na liinuliwe,

      Na kila mlima na kilima kishushwe.

      Na ardhi yenye mashimo-mashimo itasawazishwa,

      Na ardhi yenye mawemawe itakuwa bonde tambarare.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki