Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kama mawingu yanayoifunika nchi, utawashambulia watu wangu Waisraeli. Katika kipindi cha mwisho cha zile siku, nitakuleta uishambulie nchi yangu+ ili mataifa yanijue nitakapojitakasa mwenyewe kupitia wewe mbele ya macho yao, ewe Gogu.”’+

  • Ezekieli 38:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitamletea hukumu yangu* kwa ugonjwa hatari+ na kwa umwagaji wa damu; nami nitaleta dhidi yake mvua kubwa ya mafuriko na mawe ya mvua+ na moto+ na kiberiti+ na dhidi ya wanajeshi wake na dhidi ya mataifa mengi yaliyo pamoja naye.+

  • Zekaria 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+

  • Zekaria 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Siku hiyo nitafanya Yerusalemu liwe jiwe zito* kwa mataifa yote. Kwa hakika wote watakaolinyanyua watajeruhiwa vibaya;+ na mataifa yote duniani yatakusanyika kupigana na jiji hilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki