Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 59:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha akavaa uadilifu kama koti la vita

      Na kofia ya chuma ya wokovu* juu ya kichwa chake.+

      Alivaa nguo za kisasi kama mavazi yake+

      Na kujifunga bidii kama koti.*

  • Yoeli 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova atakuwa na bidii kwa ajili ya nchi yake

      Na kuwahurumia watu wake.+

  • Zekaria 1:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha malaika huyo aliyekuwa akizungumza nami akaniambia: “Tangaza hivi kwa sauti, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nina bidii kwa ajili ya Yerusalemu na Sayuni, bidii nyingi.+ 15 Kwa hasira kali nimeyakasirikia mataifa yanayostarehe,+ kwa sababu niliwakasirikia kidogo watu wangu,+ lakini yalizidisha msiba wao.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki