-
Zekaria 1:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Kisha malaika huyo aliyekuwa akizungumza nami akaniambia: “Tangaza hivi kwa sauti, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nina bidii kwa ajili ya Yerusalemu na Sayuni, bidii nyingi.+ 15 Kwa hasira kali nimeyakasirikia mataifa yanayostarehe,+ kwa sababu niliwakasirikia kidogo watu wangu,+ lakini yalizidisha msiba wao.”’+
-