Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mpaka huo ukapanda hadi Bonde la Mwana wa Hinomu+ kwenye mteremko wa jiji la Wayebusi+ upande wa kusini, yaani, Yerusalemu,+ nao ukapanda hadi juu ya mlima unaotazamana na Bonde la Hinomu upande wa magharibi, yaani, mwisho kabisa wa Bonde la* Refaimu upande wa kaskazini.

  • Yoshua 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu*+ na pwani yake. Hiyo ndiyo iliyokuwa mipaka yote ya wazao wa Yuda kulingana na koo zao.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 16 huko Yerusalemu. Hakutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama alivyotenda Daudi babu yake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Isitoshe, alifukiza moshi wa dhabihu katika Bonde la Mwana wa Hinomu* na kuwateketeza wanawe motoni,+ akifuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.

  • Yeremia 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Wamejenga mahali pa juu pa Tofethi, palipo katika Bonde la Mwana wa Hinomu,*+ ili kuwateketeza motoni wana wao na mabinti wao,+ jambo ambalo sikuamuru na ambalo hata halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki