Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+

      Mrekebisheni mkandamizaji,

      Teteeni haki za yatima,

      Nanyi mteteeni mjane.”+

  • Yeremia 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova anasema hivi: “Tekelezeni haki na uadilifu. Na mtu anayenyang’anywa, mwokoeni kutoka mikononi mwa mtu laghai. Msimtese mkaaji yeyote mgeni, na msimdhuru yatima yeyote au mjane.+ Nanyi msimwage damu yoyote isiyo na hatia mahali hapa.+

  • Ezekieli 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Watu wa nchi wamewapunja watu na kuwanyang’anya vitu vyao,+ wamewatesa wenye uhitaji na maskini, nao wamempunja mkaaji mgeni na kumnyima haki.’

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+

      Pia nyumba, na kuzichukua;

      Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+

      Wanachukua urithi wa mtu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki