Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+

      Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+

      Hawawatendei kwa haki mayatima,

      Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+

  • Isaya 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova atawahukumu wazee na wakuu wa watu wake.

      “Mmeliteketeza kabisa shamba la mizabibu,

      Na vitu mlivyowaibia maskini vimo ndani ya nyumba zenu.+

  • Yeremia 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Enyi watu wa nyumba ya Daudi, Yehova anasema hivi:

      “Tekelezeni haki kila asubuhi,

      Na mtu anayenyang’anywa, mwokoeni kutoka mikononi mwa mtu laghai,+

      Ili ghadhabu yangu isiwake kama moto+

      Na kuteketeza bila mtu wa kuuzima

      Kwa sababu ya matendo yenu maovu.”’+

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+

      Pia nyumba, na kuzichukua;

      Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+

      Wanachukua urithi wa mtu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki