Isaya 45:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini Israeli ataokolewa na Yehova kwa wokovu wa milele.+ Hamtaaibishwa wala kufedheheshwa kwa umilele wote.+ Isaya 54:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa furiko la hasira niliuficha uso wangu kutoka kwako kwa muda mfupi,+Lakini nitakuonyesha rehema kwa upendo mshikamanifu wa milele,”+ asema Mkombozi+ wako, Yehova. Yeremia 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitawaruhusu mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawakusanya mateka wenu na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote nilizowatawanya,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha mahali nilipowatoa nikawapeleka uhamishoni.’+
17 Lakini Israeli ataokolewa na Yehova kwa wokovu wa milele.+ Hamtaaibishwa wala kufedheheshwa kwa umilele wote.+
8 Kwa furiko la hasira niliuficha uso wangu kutoka kwako kwa muda mfupi,+Lakini nitakuonyesha rehema kwa upendo mshikamanifu wa milele,”+ asema Mkombozi+ wako, Yehova.
14 Nami nitawaruhusu mnipate,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawakusanya mateka wenu na kuwakusanya ninyi pamoja kutoka katika mataifa yote na sehemu zote nilizowatawanya,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawarudisha mahali nilipowatoa nikawapeleka uhamishoni.’+