Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Pigeni pembe Sayuni!+

      Pigeni kelele za vita katika mlima wangu mtakatifu.

      Wakaaji wote wa nchi* na watetemeke,

      Kwa maana siku ya Yehova inakuja!+ Iko karibu!

  • Sefania 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nyamazeni mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa maana siku ya Yehova iko karibu.+

      Yehova ametayarisha dhabihu; amewatakasa wale aliowaalika.

  • Sefania 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ile siku kuu ya Yehova iko karibu!+

      Iko karibu, nayo inakuja haraka sana!*+

      Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+

      Siku hiyo shujaa atalia kwa sauti.+

  • Sefania 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kabla amri haijatekelezwa,

      Kabla siku hiyo haijapeperuka kama makapi,

      Kabla hasira inayowaka ya Yehova haijaja juu yenu,+

      Kabla siku ya hasira ya Yehova haijaja juu yenu,

  • 2 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+

  • Ufunuo 6:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka kwenye uso wa Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwanakondoo,+ 17 kwa sababu siku kuu ya ghadhabu yao imekuja,+ na ni nani anayeweza kusimama?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki