-
1 Wafalme 22:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya pamoja manabii, wanaume wapatao 400, akawauliza: “Je, niende kupigana vita dhidi ya Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema: “Panda uende, na Yehova atalitia jiji hilo mikononi mwako.”
-
-
1 Wafalme 22:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Bado kuna mtu mmoja ambaye tunaweza kumwomba ushauri kutoka kwa Yehova;+ lakini ninamchukia,+ kwa maana hatabiri kamwe mambo mema kunihusu, ila mabaya tu.+ Anaitwa Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme, usiseme jambo kama hilo.”
-
-
Isaya 9:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Wale wanaowaongoza watu hawa wanawafanya watangetange;
Na wale wanaoongozwa wamevurugika.
-