Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo Mikaya akasema: “Basi, sikia neno la Yehova: Nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni+ likiwa limesimama upande wake wa kulia na upande wake wa kushoto.+

  • Ayubu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi siku ilifika ambayo wana wa Mungu*+ wa kweli waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ Shetani+ pia akaingia kati yao.+

  • Danieli 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mto wa moto ulikuwa ukitiririka kutoka mbele zake.+ Elfu kwa maelfu waliendelea kumhudumia, na elfu kumi mara elfu kumi walisimama mbele zake.+ Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.

  • Luka 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Malaika akamjibu: “Mimi ni Gabrieli,+ ninayesimama karibu mbele za Mungu,+ nami nilitumwa nizungumze nawe na kukutangazia habari hii njema.

  • Waebrania 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+

  • Waebrania 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki