Zaburi 89:35, 36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nimeapa katika utakatifu wangu, mara moja kwa wakati wote;Sitamwambia Daudi uwongo.+ 36 Uzao wake utadumu* milele;+Kiti chake cha ufalme kitadumu kama jua mbele zangu.+ Zaburi 110:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova ameapa naye hatabadili nia yake:* “Wewe ni kuhani milele+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+ Isaya 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.
35 Nimeapa katika utakatifu wangu, mara moja kwa wakati wote;Sitamwambia Daudi uwongo.+ 36 Uzao wake utadumu* milele;+Kiti chake cha ufalme kitadumu kama jua mbele zangu.+
7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.