Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

  • Mathayo 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo akawafungulia Baraba, lakini akaagiza Yesu apigwe mijeledi+ na kumtoa ili auawe kwenye mti.+

  • Mathayo 27:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mwishowe, baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho wakamvisha mavazi yake ya nje, wakampeleka akatundikwe mtini.+

  • Marko 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi Pilato akitaka kuuridhisha umati, akawafungulia Baraba; akaagiza Yesu apigwe mijeledi,+ kisha akamtoa ili auawe kwenye mti.+

  • Luka 23:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Pilato akaamua kutimiza dai lao. 25 Akamfungua yule mtu waliyemtaka, ambaye alikuwa amefungwa gerezani kwa sababu ya uchochezi na mauaji, lakini akamkabidhi Yesu mikononi mwao ili wamtendee wanavyopenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki