26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+
“Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+
24 Basi Pilato akaamua kutimiza dai lao. 25 Akamfungua yule mtu waliyemtaka, ambaye alikuwa amefungwa gerezani kwa sababu ya uchochezi na mauaji, lakini akamkabidhi Yesu mikononi mwao ili wamtendee wanavyopenda.