Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+ Zaburi 34:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anailinda mifupa yake yote;Haujavunjwa hata mmoja.+ Zaburi 69:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini walinipa sumu* kuwa chakula,+Na wakanipa siki ninywe ili nikate kiu.+ Zaburi 118:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataaLimekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ Isaya 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+ Isaya 53:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+ Isaya 53:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+
6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+
3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+
5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+