Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wote wanaoniona hunikejeli;+

      Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+

  • Zaburi 34:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Anailinda mifupa yake yote;

      Haujavunjwa hata mmoja.+

  • Zaburi 69:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini walinipa sumu* kuwa chakula,+

      Na wakanipa siki ninywe ili nikate kiu.+

  • Zaburi 118:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa

      Limekuwa jiwe kuu la pembeni.*+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipiga

      Na mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu.

      Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+

  • Isaya 53:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+

      Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa.

      Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.*

      Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+

  • Isaya 53:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+

      Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+

      Aliibeba adhabu ili tupate amani,+

      Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki