Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+ Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+ Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+ Isaya 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo Yehova mwenyewe atawapa ishara: Tazama! Mwanamke kijana* atapata mimba naye atazaa mwana,+ na kumwita jina Imanueli.*+ Mika 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wewe, Ee Bethlehemu Efratha,+Uliye mdogo sana usiweze kuwa miongoni mwa maelfu ya* Yuda,+Kutoka kwako atatoka kwa ajili yangu yule atakayekuwa mtawala katika Israeli,Ambaye asili yake ni ya tangu nyakati za kale, tangu siku za zamani za kale.
14 Kwa hiyo Yehova mwenyewe atawapa ishara: Tazama! Mwanamke kijana* atapata mimba naye atazaa mwana,+ na kumwita jina Imanueli.*+
2 Na wewe, Ee Bethlehemu Efratha,+Uliye mdogo sana usiweze kuwa miongoni mwa maelfu ya* Yuda,+Kutoka kwako atatoka kwa ajili yangu yule atakayekuwa mtawala katika Israeli,Ambaye asili yake ni ya tangu nyakati za kale, tangu siku za zamani za kale.