Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Yehova akamtokea Abramu na kumwambia: “Nitaupa uzao wako*+ nchi hii.”+ Basi akamjengea Yehova madhabahu huko, aliyekuwa amemtokea.

  • Mwanzo 14:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Melkizedeki+ mfalme wa Salemu+ akaleta mkate na divai; alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi.+

      19 Kisha akambariki Abramu na kumwambia:

      “Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye Juu Zaidi,

      Muumba wa mbingu na dunia;

      20 Na asifiwe Mungu Aliye Juu Zaidi,

      Ambaye amewatia mikononi mwako wale wanaokukandamiza!”

      Na Abramu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote.+

  • Mwanzo 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nitakufanya uwe na wazao wengi, wengi sana, nami nitakufanya uwe mataifa, na wafalme watatoka kwako.+

  • Mwanzo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 hakika nitakubariki, nami hakika nitaufanya uzao* wako uwe mwingi kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ na uzao* wako utamiliki lango la* maadui wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki